wa Club hiyo Lawrence Mwalusako,Mwenyekiti huyo amesema kuwa hakuna mabadiliko yoyote yale na Kaimu Katibu Mkuu Lawrence Mwalusako ataendelea kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga mpaka hapo Tarrifa nyingine itakapotolewa.
“Napenda
kutoa taarifa kwa umma na wanachama wa Yanga kuwa uongozi bado
haujatoa baraka za ajira kwa mtu yoyote katika nafasi hizo, isipokuwa
muombaji Patrick Naggi aliwahi kufika makao makuu ya Klabu kabla ya
mchakatao wa usahili kukamilika.
Lawrence
Mwalusako anaendelea kuwa kaimu katibu mkuu wa Yanga mpaka hapo
kutakapokuwa na taarifa nyingine zozote za mabadiliko kwa nafasi zote
zilizopo wazi katika idara mbalimbali.
Uongozi
unawaaomba wanachama, wapenzi na washabiki wa soka kuwa kitu kimoja
katika kuunga mkono harakati za kimaendeleo ili kuifanya timu iende
katika hatua nyingine ya ushindani wa kimatifa.







0 comments:
Post a Comment