Thursday, August 15, 2013

ZITTO KABWE ADHIAKI BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ASEMA LILIKUWA BUNGE LA MIPASHO

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Zuberi Kabwe amelidhiaki bunge la kumi la Jamhuri ya muungano wa Tanzania na kusema kuwa lilikuwa bunge la kupiga makelele...!

Mbunge huyo alikuwa akitoa mfano kati ya mabunge yaliyopita na kusema kuwa wakati kuna bunge la chama Kimoja kulikuwa na mijadala na katika bunge la tisa amedai kulikuwa na mazungumzo lakini katika bunge la Kumi kulikuwa na makele tu akimaanisha hakukuwa tena na mijadala wala mazungumzo bali ilikuwa ni kupigiana kelele tu.

Wakati wa Bunge la chama kimoja, kulikuwa na mijadala. Bunge la Tisa kulikuwa na mazungumzo. Bunge la Kumi kuna kelele”

Bunge la Tisa minyukano ya hoja. Bunge la Kumi mipasho

0 comments:

Post a Comment