Monday, August 12, 2013

WANANITISHIA MAISHA KWELI-NEY WA MITEGO

Zikiwa zimepita siku kadhaa toka msanii Ney wa Mitego kuachia wimbo wake mpya ambao ulianza kufanya vizuri katika mitandao ya kijamii kabla ya kutambulishwa rasmi.

 Msanii Ney wa Mitego amekili kutishiwa maisha na watu asiowajuwa wanao mtumia Ujumbe mfupi katika simu yake ya mkononi,jumbe nyingi anazozipata zinahusiana na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Wape salamu zao.

Salamu zao ni ngoma aliyofanya Ney akimshirikisha Neyba,ngoma imefanywa kwa ushirikiano wa maproducer wawili ambae ni T-touch pamoja na Sheddy Clever. 

0 comments:

Post a Comment