Monday, August 12, 2013

WALTER CHILAMBO AMKANA NEY WA MITEGO

Msanii Walter Chilambo alieibuka mshindi katika shindano la Bongo Star Search mwaka jana na kupata kitita cha pesa Millioni 50 amefunguka na kupinga kauli iliyotolewa na msanii Ney wa Mitego kuwa...!
amefulia na hajanufaika na pesa hiyo aliyopewa kama Ushindi.
Sina ukaribu wowote na Msanii Ney wa Mitego hivyo sielewi anawezaje kujuwa maisha yangu ya kilasiku”
Siku za hivi karibuni msanii Ney ameachia wimbo unaokwenda kwa jina la Wape salamu zao,amba kwa namna moja au nyingine amejaribu kuwazungumzia baadhi ya watu katika nyanja mbali mbali kuanzia sanaa,siasa hata Viongozi wa Taifa.

0 comments:

Post a Comment