Msanii maarufu anaetamba na
ngoma ya Wape salamu zao Ney wa Mitego ameonesha kulizwa na mapenzi baada ya
kuanza kuandika Status zinazoonyesha kuacha au kuachwa na mtu wake wa karibu.
Ilikuwa jana katika Account
yake ya Instagram alianza kwa style hiii
Sasa mapenzi basi# by
diamond Platnumz..!! Single boy# Ally Kiba#966’
akiendelea kudhiilisha hilo alipokuja na ujumbe huu tena "Niko ivi,,, nikikupenda nakupenda kwa asilimia 100# na kila m2 atajua juu ya upendo wangu kwako..!! Bt ukizingua nakuacha na ninakusahau kwa asilimia 200# na kwa muda mchache 2.
Na picha likaendelea hivi "Nikiamua huwa sirudi nyuma..!!# Mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake ye mwenyewe# by Linex.#966’
akiendelea kudhiilisha hilo alipokuja na ujumbe huu tena "Niko ivi,,, nikikupenda nakupenda kwa asilimia 100# na kila m2 atajua juu ya upendo wangu kwako..!! Bt ukizingua nakuacha na ninakusahau kwa asilimia 200# na kwa muda mchache 2.
Na picha likaendelea hivi "Nikiamua huwa sirudi nyuma..!!# Mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake ye mwenyewe# by Linex.#966’
Mpaka hapo utakuwa umegundua
jambo ikumbukwe kuwa siku za hivi karibuni msanii huyo alimtambulisha mchumba
wake kwa jamii na siku kadhaa badae alipata mshtuko uliompelekea kupoteza
ujauzito wake.
0 comments:
Post a Comment