Thursday, August 1, 2013

MGANDA JOSEPH OWINO KUCHEZEA SIMBA MSIMU UJAO


Kikosi cha Simba kimethibitisha kuwa Mganda Joseph Owino atachezea Club hiyi msimu ujao wa Ligi kuu ya Tanzania Bara unaotaraji kuanza siku za karibuni....!


katika kuimarisha safu yao ya ulinzi.Simba Sports Club itamtambulisha rasmi beki mpya kwenye Uwanja wa Taifa Jumamosi wakati wa mechi yao ya kirafiki dhidi ya timu kombaini ya Polisi.

Kaimu Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Joseph Itang'are alisema kuwa Owino tayari ametua nchini kujiunga na timu hiyo na kuthibitisha kuwa atatambulishwa Jumamosi.



0 comments:

Post a Comment