Tuesday, August 13, 2013

LINEX ATOA SABABU KWANINI ALIGOMA KUFANYA NGOMA NA NEY WA MITEGO

Mkali wa Love songs kutoka pande za Kigoma anaekimbiza na ngoma ya 'KIMUGINA' amefunguka na kutoa sababu kwanini alikataa kufanya ngoma ya Ney wa Mitego 'Salamu Zao' ingawa walikubalina kufanya kazi pamoja.

 
Linex Sunday Mjeda amesema kuwa sababui kubwa aliyompelekea kukataa kufanya ngoma hiyo ni pamoja na kuwa na Mashairi makali ambayo kwa namna moja au nyingine yamemchana mpaka yeye.

Ni kweli wimbo mpya wa ney wa mitego salaam zao mi ndo nilitakiwa kufanya chorus but sikufanya coz mashairi yake yalikua mazito na yananidiss had mm so nikaona niiache ipite salaam zinipate” 
 
Mbali na hilo mkali huyo alifunguka kuwa kigoma All stars haijafa bali alidai kuwa wahusika kila mmoja yupo na busy na mambo yake ndio maana watu huona kama kundi limekufa.

Kigoma All stars haijafa but wahusika kila mtu yuko busy na maambo yake tunahitaji time kufanya somthn big tena”.

0 comments:

Post a Comment