Wednesday, July 3, 2013

BAADA YA KUPIGWA CHINI HUU NI UJIO MPYA WA MR NICE

Msanii kutoka nchini Tanzania aliekuwa amepata shavu nchi jirani ya Kenya katika kampuni ya Groundpa, Mr Nice ameachia Video ya kwanza baada ya kutimuliwa katika Kundi hilo mwezi uliuopita kwa utovu wa Nidhani,matumizi mabaya ya pesa,na kutumikia ajira mbili kwa wakati mmoja.


Mr Nice ambae ametawaliwa na ukimya baada ya taarifa kutolewa kuwa ametimuliwa katika kundi hilo ameibuka na Wimbo wake mpya ambao aliufanya kabla ya kuondoka katika kundi ilo.

Akiwa anatambulisha Ngoma hiyo Raisi wa Grandpa amemtakia mafanikio mema katika kazi yake ya muziki popote alipo Mr Nice.


http://

0 comments:

Post a Comment