Ingawa mwamba hajaweka wazi humo ndani ya nikumbatie
kunani lakini dhahili ujumbe huo unakwenda kwa mtoto mzuri maana katika hali
halisi si rahisi kwa mtoto wa kiume kuomba ukumbatiwe na mtoto wa kiume
mwenzake ila tunahitaji kukumbatiwa na warembo wazuri
NIKUMBATIEya Joh Makini ama Mwamba wa Kaskazini amempa shavu Msanii na
Producer Fundi Samweli
“Ijumaa hii nitakua Ambassadors lounge kuitambulisha
ngoma yangu mpya ''NIKUMBATIE''Feat.fundi samweli kwa show kaali na muziki
mzuri”






0 comments:
Post a Comment