Monday, June 24, 2013

JE, UNAJUA NANI NI MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI, KOCHA BORA, MCHEZAJI BORA NA KIPA BORA WALIOJIPATIA TUZO HIZO ZA HESHIMA HAPA TANZANIA? BOFYA HAPA KUWAJUA

Salum Abubakar 'Sure Boy' akipokea Tuzo

Salum Abubakar 'Sure Boy' akipokea tuzo ya mchezaji bora chipukizi Sure Boy aliungana na Mecky Mexime wa Mtibwa aliyetwaa tuzo ya kocha bora.


 Amri Kiemba aliyetwaa tuzo ya mchezaji bora, na Husein Shariff Kasilas aliyetwaa tuzo ya kipa bora.


Tuzo ziliandaliwa na Sputanza wakishirikiana na TFF chini ya udhamini wa pepsi

0 comments:

Post a Comment