Serikali
imepiga marufuku kundi hilo kutokana na ukweli kwamba linauwa
utamduni wa kitanzania na kuchochea vitendo vya anasa kwani aina ya
uchezaji si sahihi na vinahusishwa na ukahaba tu.
Laki
si pesa ni kundi lililokuwa likipingwa na watu mbalimbali kutokana na
namna wadada hao walivyokuwa wakicheza,walihusishwa na vitendo vya
kuchochea vitendo vya Ngono,kuhamasisha vitendo hivyo kwa wale
wanaokuwa wakiangalia show za Laki si pesa lakini hata wabunge kwa
mara ya kwanza wabunge walionesha kukerwa na kundi hilo na kudai kuwa
wanachangia kuporomosha maadili ya Kitanzania.
Kundi
la Laki si pesa limepigwa marufuku jana katika bunge la jamhuri ya
muungano.
0 comments:
Post a Comment