Polisi
wanawatafuta wagonjwa
karibia arobaini waliotoroka kutoka
hospitali
ya watu wenye matatizo ya kiakili,
mjini Nairobi ya Mathare. Wagonjwa
hao
wanasemekana waliwashinda
nguvu walinzi wao na kutoroka.
Zogo
hilo lilizuka katika hospitali ya Mathare baada ya kutokea hali ya
sintofahamu iliyowahusisha wafungwa arobaini wanaume.
Baadhi
ya vyombo vya habari vinasema kuwa wagonjwa hao walikuwa wanateta
kuhusu hali mbaya na kibinadamu katika hospitali hiyo.







0 comments:
Post a Comment