Monday, May 13, 2013

KOCHA WA MANCHESTER CITY ATIMULIWA KIBARUA





Kocha wa Manchester City ROBERTO MANCINI ametimuliwa kibarua chake baada ya kushindwa msimu huu

MANCINI ametimuliwa kibarua chake baada ya mwaka mmoja toka kushinda Premier League kwani mnamo Tarehe 13 May 2012 Manchester City walishinda ubingwa wa Ligi hiyo na Tarehe hiyo hiyo na Mwezi Huo huo mwaka 2013 wamemtimua Kazi Kocha aliekuwa akikinoa kikosi cha Manchester City Hivyo ni Tarehe 13 MAY inapaswa kukumbukwa sanaa kwani ni historia katika Club hiyo ya Manchester City.


Kutokana na kufukuzwaManchester City, Mancini atalipwa pauni milioni 7 

kwa kuwa mkataba wake na klabu hiyo ulikuwa na miaka mitatu mbele.

0 comments:

Post a Comment