Baada
ya msanii wa muziki TID kutangaza waziwazi kuwa hatashiriki katika
show ya miaka 13 ya mwanamuziki Lady jaydee itayofanyika siku ya
ijumaa ya Tarehe 31 May mashabiki wa TID wamemshushia Matusi,maneno
ya kejeri na kumpuuza kabsa na kumwita msaliti kwani sababu
alizozitoa hazina msingi wowote ule.
Hizi
ni baadhi ya COMMENT ZILIZOANDIKWA KWA TID.








0 comments:
Post a Comment