Mchezo
wa ngao ya Hisani kati ya Mabingwa watetezi Yanga na watani wao wa
Jadi Simba utachezwa siku ya Jumamosi ya Tarehe 21 katika Uwanja wa
Taifa
badala ya Tarehe 14 ambayo ilikuwa imetangazwa awali.
Mchezo
huo ambao utaambatana na kumpata NaniMtaniJembe kati ya Simba na
Yanga ambapo Mshindi atajizolea kitita cha Pesa alizovuna kutoka kwa
mashabiki wake.
Katika
Mashindano hayo mpaka sasa Yanga inaongoza kwa kupata 77,921,000
huku watani wao wakiwa nyuma kwa kupata 22,079,00 hivyo mashabiki
Unaombwa kuendelea kupiga kura ili kuiwezesha Klabu yako kujivunia
Kitita cha Pesa.
0 comments:
Post a Comment