Thursday, December 5, 2013

KICHAPO CHA MAN UNITED CHA WAUMIZA MASTAA HAWAA TANZANIA

Katika hali ya kawaida katika soka Timu yako inapofanya vizuri kila siku hakika furaha inakuwa ni sehemu ya maisha yako nakujiona kabisa kuwa wewe ni bora na wala huwezi kujutia kuwa shabiki wa ukweli wa Timu husika hali hii ndio ilikuwa ikiwakuta Mashabiki wa Man United kipindi cha nyuma kabla mambo hayajaanza kwenda Kombo.

Mambo yalipoanza kubadilikia kidogo wengi wao waliendelewa kujipa moyo kuwa inawezekana mambo yatabadilika na watakaa sawa,ni kweli katika maisha huwa kuna kupanda na kushuka hivyo wengi waliona ni kawaida mno hasa kwa Mchezo wa Mpira,hali hii haikuwakatisha tamaa bali iliendelea kuwajaza imani kuwa watakaa sawa na kuwa Fiti kama ambavyo walikuwa imara.

Kwa upande wa Klabu ya Arsenal ndiyo ilionekana kuwa Kiraza maana wao kichapo na Maumivu ndio yalikuwa maisha yao ya Kila siku hivyo hali hiyo iliwafanya mashabiki zake kukubaliana na hali hiyo na kuendelea kuipenda Arsenal ingawa muda mwingi wanakuwa na Maumivu kuliko furaha.lakini wazi kwa sasa Mashabiki wa Manchester United ndio wanaumia zaidi maana wao hawakuzoea Maumivu halafu vialbu vingine vinaendelea kuwaumiza kudhibitisha hili Tizama maoni ya wadau wazuri wa Man United wakifunguka baaada ya Jana kupigwa Gori moja

Salama Jabir :Ngumi Ilizochezea Mito Yangu Jana Wakati Naangalia Football Kungekua Na Mtu Ingemuomba Anipeleke Polisi. Maisha Gani Haya?!


Salama Jabir: Kuna Gharika Meli Imetoboka Na Mvua Inazidi Kunyesha...Asante Moyes!Maisha Yangu Yanazidi Kuwa Rahiiisi Kabisa. KLMY Wewe Na Macho Yako!



Red Son: Hahahahaha I just give you Ushauri Na-saa. U may just take the watch and continue to lay down on ya sofa Lo


Cpwaa: Moyes needs to go! Wallahi tena!!


Godfrey Mwaibindi:UVUMILIVU.....si jambo lakawaida aisee,napenda kuwapongeza fans wote wa Arsenal kwa uvumilivu waliouonesha kwa muda wote ambao kufungwa fungwa ovyo ilikuwa sehemu ya maisha yao,unahitaji kuchomwa sindano ya ganzi ili uweze kuvumilia vichapo hivi vya sasa vya Man U na Moyes wake..its pain aiseeee,poor Man U

..,.............................GGM.....................................




0 comments:

Post a Comment