Monday, December 2, 2013

HUYU NDIYE KOCHA WA SIMBA RASMI TAZAMA PICHA AKISAINI MKATABA NA WEKUNDU WA MSIMBAZI

Kocha mpya wa Simba, Zdravok Logarusic, raia wa Croatia amesaini Mkataba na Timu ya Simba chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba Zacharia
Hanspope ambaye ni Mmoja kati ya Wajumbe wa kamati ya Utendaji ambayo ndiyo inalalamikiwa na Mwenyekiti wa Klabu hiyo Ismail Aden Rage.

0 comments:

Post a Comment