Mwanadada ambaye
amebahatika kupata AKA nyingi kutokana na umahiri wa kazi zake
mbalimbali na maisha anayopitia kila siku ambaye kwa sasa anafahamika
kama Anna Conda amefunguka na kumchana mwanamuziki Wakazi kuwa ni
Snichiii.
Mchano huo umeshushwa
kupitia mitandao ya kijamii ambapo Lady Jaydee alikuwa akimuuliza
moja wa rafiki yake kuhusu mtoko wa jioni na mambo yalikuwa kama
hiviiiii.








0 comments:
Post a Comment