|
Hukumu
ya Wanamuziki wenye asili ya Congo Babu Seya na Mwanaye ambayo
imepitiwa leo imefanyiwa mapitio na jopo la majaji wa Mahakama ya
Rufaa Tanzania.
Baada
ya kupitia kwa Hukumu hiyo Jopo la majaji wa Rufaa linatarajia kutoa
hukumu siku ambayo itapangwa hapo baadaye.
Babu
seya na Mwanaye walihukumumiwa kifungo cha Maisha baada ya kukutwa na
Hatia ya kunajisi na kuwalawiti watoto wadogo.
 |
0 comments:
Post a Comment