Mshambulaiji Mganda
Hamisi Kiiza ambaye jana alifunga goli lake la nane katika mechi ya
saba aliyocheza msimu huu wakati alipoisaidia timu yake ya Yanga
kuibuka na ushindi wa kujiamini wa magoli 3-0 dhidi ya Mgambo JKT
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.
Kitendo cha
Mshambuliaji huyo wa Yanga Kiiza kufikisha Magori Nane amemshika
shati mshambuliaji wa Simba Amisi Tambwe ambaye alikuwa akiiongoza
kwa kufumania nyavu kwa msimu huu kwa kufumania Nyavu mara Nane akiwa
na Simba Sports Club.
Kiiza hakuweza
kushiriki mechi nne za awali mwanzo wa Ligi kuu ambapo alikwenda
kufanya majaribio Lebanon.







0 comments:
Post a Comment