Msanii
katika Kiwanda cha Filamu Nchini Tanzania Baturi amefunguka na kutoa
ya moyoni kwa Wasanii na Raia wengine ambao kazi yao ni kujiremba na
kujipodoa Pindi waendapo katika Misaba,kwani amefananisha hali hiyo
ni sawa na Kwenda kuuza Sura wakati wenzako wapo katika Kipindi
Kigumu.
Katika
Hali isiyo ya Kawaida kumekuwa na Tabia ya Muundo huu wa Watu wengi
katika Kizazi cha sasa kutinga katika maeneo ya misiba kama
wanakwenda hudhuria sherehe au kama wanakwenda katika Vikao vya Dili
kutokana na jinsi wanavyokuwa wamejiweka hasa kimavazi,na upande wa
kina dada ni kama wanakwenda katika Maonyesho ya Mavazi au vitu vya
Dhamani wanavyomiliki.








0 comments:
Post a Comment