Kwa mujibu wa Ben Paul
amesema kuwa Jambo lake la kwanza litakuwa ni Kusherekea Siku ya
kuzaliwa ila akadai kwa kuwa anawapenda sana Mashabiki wake hivyo
hatajisikia vizuri kusherekea siku yeye na rafiki tu ila amaeamua
kushare furaha yake kwa kuwapa Wimbo wake mpya ambao amefanya na
mwanadada Alice hivyo atautambulisha katika siku yake ya kuzaliwa.
Jambo la tatu ambalo
litafanyika siku hiyohiyo kwa Ben Paul amedai kuwa atakuwa
akimtambulisha Mwanamuziki Alice katika Soko la Muziki wa Tanzania
na kukuonesha Kipaji hicho kipya katika Masikio ya watanzania kwani
anauwezo wa Hali ya Juu ndio maana aliamua kushirikiana nae katika
Wimbo wake mpya ambao utakuwa Zawadi kwa Mashabiki wake.
“Sept 8 Nitakuwa
nasherehekea Vitu vitatu; 1. Kuzaliwa 2. Kutoa wimbo mpya
niliomshirikisha Alice 3. Kuibua nyota mpya ya muziki yaani "Alice”







0 comments:
Post a Comment