Wednesday, April 24, 2013

PICHA YA MWANAFUNZI ALIEUWAWA ARUSHA ENZI ZA UHAI WAKE

Henry Kago alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha Uhasibu aliuwawa usiku wa Jumanne na watu wasiojulikana kwa kuchomwa Visu Mwilini mwake na kupatwa na umauti hapo hapo.

0 comments:

Post a Comment