Tuesday, March 6, 2012

NYARAKA ZA MICHAEL JACKSON ZAIBIWA.

king of pop michael jackson

Nyaraka za muziki wa aliekuwa mfalme wa pop duniani Michael Jackson zimeibiwa katika studio za kampuni inayojishughulisha na masuala ya muziki na wasanii iitwayo sony music.

Nyaraka hizo zimeibiwa kwa njia ya wizi wa kimtandao kutumia teknolojia ya computer na internet, kampuni ya sony music ilisaini mkataba na jacksons’ estate  mwaka 2010,yaani ni mwaka mmoja tu baada ya kifo cha mfalme wa pop duniani alietamba sanaaa na kibao cha thriller.

Mkataba huo ulikua ni kutoa albums 10 zitakazo jumuisha nyimbo zilizokwisha tambulishwa katika tasnia hii hapa ya burudani na vyombo mbalimbali vya habari zikiwemo thriller,A place with no name,this is it,nk vile vile nyimbo ambazo bado mpya hazijasikika masikiono mwa watu zitakuwepo katika  mfululizo wa hzo album 10.

0 comments:

Post a Comment