Monday, February 10, 2014

NISHIKE MKONO YA D KNOB KUANZA KUTENGENEZWA VIDEO LEO

Mkali wa Sauti ya Mtaa D Knob ambae kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Nishike mkono ambayo amempa shavu Mwasiti na kufanya vyema kunako
vyombo mbalimbali vya habari leo inaanza kutengenezwa Kichupa chake.
D Knob amefunguka na kushukuru kwa mashabiki wake amabo wameweza kuipokea ngoma hiyo na kuifikisha katika hatua nzuri zaidi hadi kumuhamasisha kuifanyia kichupa kikali ambacho kinaanza kutengenezwa leo,ingawa mpaka sasa D Knob hajaweka wazi ni kampuni gani anafanya nao video hiyo.


0 comments:

Post a Comment