Friday, November 15, 2013

KAULI YA KIPA IVO MAPUNDA DHIDI YA SIMBA

Kipa Ivo Mapunda ambaye kwa sasa anaidakia Timu ya Gor Mahia ya Nchini Kenya amefunguka na kudai kuwa anakaribia kumalizia Mkataba wake na Timu
hiyo ya Kenya Hivyo kama Simba wanamuhitaji wanakaribishwa

"Namaliza mkataba wangu Desemba mwaka huu na kama nitakubaliana na Simba naweza kufanya nao kazi, kule ligi yao hakuna tofauti kubwa zaidi ya uendeshaji, ila hapa (Tanzania) pesa ipo. Kule menejimenti si nzuri sana,"

0 comments:

Post a Comment