Siku
mbili tatu Jijini Dar es Salaam kuwekuwa na mvua ambayo imesababisha
baadhi ya sehemu kutuwama kwa
maji na kuwa kikwazo kwa watembea kwa
mguu kuweza pita hususani Wanawake hata Wanaume ambao wanakuwa
wakielekea makazini au wakirejea Nyumbani kutoka makazini.
Katika
hali hii Binti huyu alishindwa kuvuka maji yaliyokuwa yametuwama na
kuomba avushwe ili aweze mlipa mvushaji lakini Mambo yalikuwa kama
hivi
 |
| Safari inaanza kutaka kumvusha Mteja Upande wa pili ili aweze kuendelea na Safrai yake |
 |
| Ajari imewakuta na kudondoka katika Dimbwi la maji Machafu |
 |
| Wasamalia Wema wakisaidiana kumtoa Dada wa Watu katika Dimbwi la Maji |
 |
| Mwanadada akitoa Mchozi baada ya wasamalia wema kumuokoa katika dimbwi la Maji |
Picha kwa Hisani ya
KHAMIS MUSSa
0 comments:
Post a Comment