Kuna
kila dalili Mshambuliaji Emmanuel Okwi Kesho kuingia dimbani kusakata
Kabumbu katika Mechi ya Nani Mtani Jembe itakayofanyika Kesho Uwanja
wa
Taifa.
Mshambuliaji huyo Leo
alijiunga na Kikosi cha Yanga katika Mazoezi yaliyokuwa yakifanyika
katika Uwanja wa Bora Kijitonyama.
0 comments:
Post a Comment