Friday, May 3, 2013

MFANYABIASHARA AJIRUSHA GHOFANI NA KUANGUKIA GARI

Mfanyabiashara mmoja aliefahamika kwa jina la Shilima kutoka Dar es salaam leo amejirusha kutoka gorofa ya tisa na kuangukia gari dogo aina ya Tayota.

Tukio hili limetokea mjini Dar es salaam leo hii katika maeneo ya kariakoo lakini chanzo cha mfanya biashara huyo kujilusha tokea gorofa ya tisa mpaka chini hakijafahamika mara moja.

Mfanyabiashara huyo amekimbizwa Hospitali mpaka sasa haijafahamika kama amefariki au yu hai.kwa taarifa zaidi nitakujuza baadae.

0 comments:

Post a Comment